Tuesday 31 July 2012

Hali ya Diamond Platnumz sio nzuri sana...anaumwa!

Hii ndio picha aliyoiweka msanii wetu maarufu kwa jina la Diamond Platnumz kwenye tweeter yake huku akisema , 'Duh hali yangu sio nzuri sana. Naumwa.' Pole sana Diamond. Tunakuombea upone haraka!!

Muheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe bado ana maswali magumu sana ya kujibu....

Angalia majibu aliyoyatoa leo kupitia Tweeter account yake...

Hint hint kutoka kwa Wema Sepetu

Wema ameamua kutupa hint asubuhi ya leo kupitia kwenye Tweeter account yake kuhusu Wedding Bells...

Tuesday 24 July 2012

Rihanna Goes Parasailing Above Cannes!







Rihanna will appear on "Oprah's Next Chapter" August 19th, and her new UK fashion REALITY SHOW "Styled To Rock"will also be airing in August. Can't wait to watch....


Image credit:INF

Upcoming Music: 2 Chainz Ft. Kanye West "Birthday Song"



2 Chainz just dropped his much awaited single "Birthday Song" soon coming out.

Happy 43rd Birthday Jennifer Lopez!!

Jennifer-Lopez-2012-wallpaper
So Jennifer Lopez turned 43 years old today Its really hard to imagine that the chick with the killers abs and (much) younger boyfriend is 43. For other women of this age, one can easily tell by their looks. However its very much possible for one to get such a look, simply by commiting oneself to the gym and a very strict diet. Jennifer does a lot of working out, that's why she's able to maintain this beautiful body of hers. I'm trully inspired by this.

Did Chis Brown really break up with Karrueche so that he could go back to Rihanna?! Mmh!!



With the rumor mill turning yesterday with unverified reports that Chris Brown "dumped" girlfriend Karrueche before taking off to Cannes--to ALLEGEDLY be with Rihanna while working on a video--the proof is in the pics that the rumors are likely untrue.

Karrueche actually jetted to Cannes with Chris--and she was spotted out and about yesterday after their arrival. 

Source:theybf

The Jackson Family Saga continues....

The saga continues at the Jackson compound in Calabassas.  While pics have hit the net showing Katherine Jackson, the sole caregiver for Paris, Blanket & Prince, is doing "fine" in Arizona with daughter Rebbie, Paris is still popping off about being kept away from her grandmother.   Things have gotten extra fishy around Katherine's mysterious trip.  Details and video inside...
While Jermaine and Katherine's other kids maintain that Mrs. Jackson is not in any danger, Paris and the executors of Michael Jackson's estate are telling the public they don't believe it.  And they do believe she's been kidnapped by her children.  Sigh.
Why would this be the case?  The executors believe, according to reports, that Katherine is the window to the children--who stand to inherit a hefty amount of money based on the will Michael left.  Supposedly, none of Michael's sisters or brothers were included,  So certain people may be trying to create access to the children to get their part of the money in some way.
If that's not confusing enough, Paris has taken to twitter as of a few hours ago to say she still hasn't seen/heard from her grandmother.  And she's ready to take action as it's been 9 days.  Here's a series of tweets from Paris--including one from her cousin:


Her cousin TJ (Tito Joe Jackson), who is the son of Michael's brother Tito, has filed papers to take over being the kids' temporary guardian.  And since all 3 kids are supposedly on board, a judge may just grant it to him.
Meanwhile, here's some interesting footage from the surveillance cameras outside the Calabassas home of the Jacksons.  Janet and Randy can be seen trying to take Paris' phone from her (after they make a calm and seemingly loving arrival hugging and kissing the kids).  And it leads to a slight scuffle and Janet and Randy filming the kids for some reason.



Source:theybf

Katie Holmes' Fashion Line Has Been Doing Really Well Since She Dumped Tom Cruise




Divorce seems to really suit Katie Holmes.

The day after her separation was announced, the actress was spotted filming Project Runway All Stars; later that week, it was announced that her fashion label, Holmes & Yang, will show at New York Fashion Week for the first time this September; and now there are reports that the label is doing really, really well, sales-wise.

According to reports, Holmes & Yang, which is sold exclusively at Barneys locations, has increased in both sales and customer interest. According to staff members at both New York and Beverly Hills locations, more people are buying Holmes' minimalist color-blocked blouses and shirt dresses than ever before. Even the Dallas Barney's location, which doesn't sell the line, reported an uptick in the numbers of customers who come in and ask about the label. 

Looks like the publicity and the poise with which the actress has been handling the speedy split is really working in her and her business' favor.

David Zyla, an Emmy Award-winning stylist, told the Daily Mail that Holmes' divorce placed her in a really lucrative position.

"Every editor will be at the spring 2013 Holmes & Yang showing this September," Zyla said. "Katie's divorce and the masterful manner in which she handled it is a shining light onto anything that she does at this moment."
Source: Stylebistro

Katherine Jackson claims MJ's family & AMBUSHED the kids...

Will Katherine Jackson Lose Custody of Michael's Kids?

As Michael Jackson's mother Katherine was reported missing and later found this weekend, the Jackson family is once again under the microscope with fans around the world wondering, what is exactly going on within the Jackson family?

After Jermaine Jackson assured the world via Twitter that his mother was fine, Katherine Jackson's camp has released a statement telling her side of the story. Her statement reads:

Yesterday afternoon certain Jackson family members ambushed Katherine Jackson’s home after their vehicle tore through security gates on the tails of the SUV containing Michael Jackson’s children.

After exiting their vehicles, Jackson family members ran up to Michael’s children as they yelled and began to aggressively grab at the cell phones in their hands. Out of concern for the well being of Prince, Paris, and Blanket Jackson, the children were forced to temporarily leave their home and taken to a safe location. An altercation ensued shortly thereafter and law enforcement arrived at the scene.

Following the incident, it was learned that one of the family members who was part of the ambush admitted that a plan has been in place for the last three years to remove Katherine Jackson from her home and her beloved grandchildren."

Prince, Paris and Blanket Jackson have not heard from their grandmother since she left their home nine days ago to attend a series of her sons’ concerts on the Jacksons' Unity Tour. She never made the shows. Despite efforts to interview Katherine Jackson at her current location in Arizona yesterday, Los Angeles County Sheriffs confirmed that they were denied access to Mrs. Jackson by security for one of her children.

In light of the situation, Michael Jackson's Estate has also released a statement:

We are acutely concerned about the welfare of Mrs. Jackson, and most particularly with Michael's minor children.

We are concerned that we do what we can to protect them from undue influences, bullying, greed, and other unfortunate circumstances. While we do not have standing to directly intervene, we have monitored the situation and will continue to do so. We believe measures are being put in place that will help protect them from what they are having to deal with.

Source: TMZ

Exclusive: Banks Face £1bn New PPI Hit

I can reveal that the four largest high street lenders will signal the increased provisions in their half-year results, which kick off with Lloyds Banking Group on Thursday.

Industry sources tell me that both Lloyds and HSBC will reveal that they set aside more than their respective PPI provisions for the first quarter of £375m and £300m for the period between April and June.

Royal Bank of Scotland is expected to confirm that it is making a further allocation similar to its £125m first-quarter charge, while only Barclays is expected to allocate a smaller sum than its earlier £300m provision.

Assuming the new charges are disclosed by the banks, it would mean that Lloyds – the largest seller of PPI policies – will have had to fork out at least £4bn alone for its mis-selling activity. The total bill for the industry will have risen to almost £8bn, with analysts now anticipating that it could ultimately reach at least £10bn.

The latest financial hit underlines the grave impact of one of Britain's biggest bank mis-selling scandals, and comes amid intense political pressure for an overhaul of the industry's culture and business practices.

I revealed last night the details of an inquiry commissioned by Barclays into its business activities following its £290m fine for Libor manipulation and the enforced resignation of Bob Diamond, its chief executive. Barclays will announce the plans today.

Britain’s banks have also been forced to agree a settlement with the City regulator to provide redress to small businesses who were inappropriately sold complex hedging products, which could also cost them billions of pounds.

Today, Lord Turner, chairman of the Financial Services Authority, will cite the wave of scandals as evidence that the banking sector requires a new code of ethics that does not prioritise quick profits.

PPI policies were sold to customers to cover them in the event that they lost their jobs or became too ill to work. The major lenders were forced to admit in 2010 that millions of the policies were mis-sold.

The chief executives of the big banks have, nonetheless, lined up in recent months to criticise ambulance-chasing claims management companies for promoting a spate of fraudulent claims.

A research note published by JP Morgan, the investment bank, said: "We see potential for further provisioning for UK banks ex(cluding) StanChart on PPI. FSA’s data (updated 20 July) shows that there has been a significant uptick in the rate of PPI redress payout in May 2012.

"At the time of the Q1 results, the banks took additional provisions due to a rise in claims in Feb and March. However, …following a further rise in April, May payouts were c.60% higher than the Q112 average run rate.

"This may lead to further downside risk in terms of charges, with Lloyds, Barclays and RBS most impacted in our view…We believe that PPI is likely to remain an overhang on the domestic UK banks in the absence of further action."


Source:sky news

Monday 23 July 2012

Mariah Carey TEAMS With Rick Ross & Meek Mill For “Triumphant” SINGLE


Mariah Carey tweeted recently about her brand new single. It's called "Triumphant".
“So I can finally announce to you that my new single is coming out in early August! It’s called TRIUMPHANT (Get ‘Em) ft. Rick Ross & Meek Mill.” She added, "I wrote TRIUMPHANT when I was going through a difficult time & it helped me get through it. When u hear it, pay attention 2 the lyrics #WIN"
"Triumphant" was produced by Jermaine Dupri and Bryan-Michael Cox.


MUSIC FAB: Rita Ora's New "Roc The Life" Single + Future Ft. Diddy & Ludacris "Same Damn Time (Remix)" Video


Roc Nation's newest blonde, Rita Ora, just dropped the studio version of her track "Roc The Life." Must be a requirement for every Roc Nation artist to have a "Roc" track. Check it inside, plus Future's brand new video for his hood anthem "Same Damn Time (Remix) ft. Diddy & Luda....
 
 


Source:theybf

JK-Haikubaliki kwa mjamzito kupoteza maisha akijifungua


RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa ni jambo lisilokubalika kwa mwanamke kupoteza maisha wakati akijifungua kwa sababu uja uzito siyo ugonjwa.
Aidha, rais Kikwete amesema pamoja na juhudi kubwa zinazofanywa na Serikali katika kupunguza vifo vya akinamama wakati wa uzazi na mipango mingine ya uzazi bora, bado tatizo linabakia kubwa na zinahitajika juhudi zaidi ili kuondokana na tatizo la vifo wakati wa uzazi.
Rais Kikwete ameyasema hayo leo, Alhamisi, Julai 19, 2012, wakati alipokutana na kuzungumza na Mtendaji Mkuu wa shirika la kimataifa lisilokuwa la kiserikali la Pathfinder International, Dkt. Purnima Mane, Ikulu, Dar es Salaam.
Amesema kuwa ni jambo lisilokubalika kabisa kwa mwanamke kupoteza maisha wakati akijifungua. “Uzazi siyo ugonjwa na kwa hakika ni jambo lisilokubalika kwa mwanamke kupoteza maisha wakati akijaribu kutoa maisha kwa binadamu mwingine. Hili ni jambo ambalo Serikali itaendelea kupambana nalo hadi kulifikisha mahali pazuri zaidi.”
Serikali imekuwa inafanya juhudi kubwa katika eneo hili lakini bado tatizo ni kubwa na zinahitaji jitihada za ziada. “Tumefanya jitihada kubwa na kupata mafanikio ya kujivunia lakini bado kazi ni kubwa.”
Takwimu za sasa zinaonyesha kuwa akinamama 578 kati ya 100,000 hupoteza maisha wakati wa uzazi, idadi ambayo imeshuka kutoka miaka minne iliyopita wakati takwimu zilionyesha kuwa akinamama 790 kati ya laki moja walikuwa wanapoteza maisha wakati wa kujifungua.
Miongoni mwa maamuzi ambayo Serikali imechukua kukabiliana na tatizo hilo ni pamoja uamuzi wa kupunguza umbali wa kufikia huduma za afya kwa kujenga zahanati kila kijiji na kituo cha afya kila kata na hivyo kuhakikisha kuwa huduma hizo zinapatikana katika umbali usiozidi kilomita tano.
Serikali pia imeamua kuwa kila zahanati ama kituo cha afya lazima kiwe na huduma za kuhudumia wazazi na waja wazito.
Serikali pia imechukua hatua za kukabiliana na ugonjwa wa ukimwi ambao ni moja ya chimbuko kubwa la vifo vya akinamama waja wazito.
Dkt. Mane ambaye anatembelea Tanzania kwa mara ya kwanza amemsifu Rais Kikwete kwa uongozi wake katika masuala ya afya na masuala mengine. “Uongozi wako katika suala hili ni jambo linalojulikana duniani pote. Tunakushukuru sana kwa sababu wewe ni bingwa wetu na msemaji wetu mkubwa katika mapambano ya usalama wa akinamama waja wazito.”
Pathfinder International ni shirika la kimataifa lisilokuwa la kiserikali ambalo malengo yake makuu ni kushughulikia afya za akinamama na kuboresha uzazi. Katika Tanzania, Pathfinder International linaendesha miradi tisa kwa sasa katika maeneo ya ukimwi, masuala ya uzazi na uzazi wa mpango.


Habari kwa hisani ya thehabari.com

Emirates Offers Tanzanian Travellers Special Ramadan Fares


EMIRATES has unveiled a range of great value Economy Class fares from Dar es Salaam to more than 50 destinations across the Middle East, Europe, the Indian Subcontinent, Far East and Asia during the month of Ramadan.
Economy Class return fares from Dar es Salaam to Dubai now start from US$ 670 and Business Class fares from US$ 1840 during the time-limited offer period. Bookings must be made by 31st July for travel between 15th July and 15th August 2012.
Announcing the new promotional fares in Dar es Salaam, Emirates Country Manager for Tanzania Abdul-Aziz Al Hai said: “As we approach the Ramadan period, we would like to make it as easy and convenient as possible for our customers to spend precious time with family and friends, or to enjoy a well-deserved vacation. These offers provide an opportunity to travel to a wide number of popular destinations at greatly discounted fares and we invite all our customers to take advantage of these fantastic value-for-money deals.”
Special Economy Class offers for the Middle East and Asia include: Bahrain from US$ 557; Kuwait from US$ 550; Muscat from US$ 556; Doha from US$ 560; Riyadh from US$ 562; Dammam from US$ 562; Islamabad, Karachi, Peshawar and Lahore S$ 970; Cochin, Kozhikode, Chennai, and Kolkata from US$725; Colombo from US$ 1135; Dhaka from US$ 955; Thiruvananthapuram from US$ 735; Hyderabad from US$758; Mumbai from US$730; Ahmedabad from US$733; Bengaluru from US$741; and New Delhi from US$801.
Economy Class deals to Europe include London Heathrow from US$ 1010; London Gatwick from US$ 975; Birmingham from US$ 972; Manchester from US$ 977; Dublin from US$ 855; Newcastle from US$ 977; Glasgow from US$ 972; Paris from US$ 892; Zurich from US$ 872; Geneva from US$ 851; Milan from US$ 850; Nice from US$ 870; Barcelona from US$ 843; Malta from US$ 852; Athens from US$ 851; Rome from US$ 851; Venice from US$ 850, Munich from US$ 912; Vienna from US$ 905; Frankfurt from US$ 928; Prague from US$ 855; and Dusseldorf from US$ 906. Others include Amsterdam from US$ 866; Hamburg from US$ 890; Copenhagen from US$ 855; St Petersburg from US$ 860; Moscow from US$ 852; Istanbul from US$ 843; Lisbon from US$ 856; Larnaca from US$ 860; and Madrid from US$ 866.
Emirates is also offering discounted Business Class return fares from US$ 2420 to Karachi, Peshawar, Lahore and Islamabad; US$2205 to Kolkata, Cochin, Kozhikode, and Chennai; US$ 2213 to Ahmedabad and Hyderabad; US$ 2480 to Colombo; US$ 2215 to Thiruvananthapuram; US$ 2221 to Bengaluru; and US$2281 to New Delhi.
All the above fares include taxes, are quoted on a return basis and can be purchased from Emirates sales offices or through authorized travel agents.
More information on the promotions, terms and conditions can be found by visiting the local Emirates sales office located at Haidery Plaza, 6th Floor, Ali Hassan Mwinyi Road, Dar es Salaam


Source:thehabari

Habari:Matajiri waficha fedha ng’ambo


UTAFITI mpya uliofanywa sehemu mbali mbali za dunia, kutaka kujua wapi watu wanaficha fedha zao kukimbia kodi, umegundua kuwa dola kama trilioni 20, zimefichwa nchi za ng’ambo, mbali ya macho ya maafisa wanaotoza kodi.
Ripoti hiyo imeandikwa na shirika la utetezi, Tax Justice Network, ambayo inasema kuwa tofauti baina ya matajiri na maskini ni kubwa kuliko ilivofikiriwa.
Dola trilioni 21 ni sawa na pato la mwaka la Marekani nzima pamoja na Japani.
Tax Justice Network inafikiri fedha zilizofichwa ng’ambo zinaweza kuwa zaidi ya hizo.
Ripoti yao inaonesha jinsi matajiri wakubwa wanavohamisha fedha na kuziweka kwenye nchi zinazoweka siri, kama Uswiswi na Visiwa vya Cayman, kwa kupitia mabenki ya kibinafsi.
Ripoti piya inaeleza kuwa nchi zenye utajiri wa mafuta, kama Urusi na Nigeria, ndio hasa kwenye mtindo wa fedha kutoweka na kuvushwa, badala ya kuwekezwa nchini.
Utafiti huo unamaliza kwa kusema wanasiasa sehemu mbalimbali za dunia, wanategemea kuwa fedha hata zikiwa kwa watu wa juu, zitavuja hatimae na kuwafikia maskini – ripoti inasema hayo hayatokei tena.


Habari kwa hisani ya BBC, thehabari

Ramel Carter Shares The Advice His Uncle Jay-Z Gave Him & Blue Ivy's Beauty


It would seem like it would be easy to break into the music industry if you had a heavy hitter family member that was pulling weight in the rap game for decades, but if that uncle is Jay-Z, you're going to have to hustle for it like he did.

Jay-Z's nephew Ramel Carter not only shares a last name with the rapper, but shares the same gift for making music. The young rapper admits that Jay was his father figure and realized that he wanted to rap when he was just 8 years old watching one of his uncle's music videos.

Source:GlobalGrind

Beauty: Tips for beautiful eyelashes


Thick long eyelashes enhance the beauty of your eyes. Here are ways to get long and curly eyelashes.
- Improve your diet adding a lot of vitamins to it. Vitamin E helps gain thick eyelashes.
- To moisturise your lashes, just apply castor oil or use petroleum jelly. Apply a mixture of olive oil and a few drops of lemon with the help of a cotton ball, and leave it on for a few minutes. Then wipe it off with water. Do this for over a month and get fuller eyelashes.

Music Fab: Hussein Machozi 'Addicted'



Beautiful song by Hussein Machozi...yeah Bongo Flava's getting there slowly...


Sunday 22 July 2012

SAD NEWS: Tameka Raymond's Son, Kile Glover, Has Been Removed From Life Support



In extremely sad news, Tameka Raymond's son & Usher's stepson, Kile Glover, has reportedly been taken off life support... 


Tameka's last tweet was the above pic of her sons Kile and Usher V.  Our prayers are with Tameka as it is being reported that the family has taken 11-year-old Kile off of life support.....

I can only imagine how Kile's Mom (Tameka Raymond) feels...the worst pain a mother can get in life is when they loose their child. I've been following up on Kile's progress all over the internet, and right now, I feel very sad for the family.


Image credit:theybf


Friday 20 July 2012

Mamia wajitokeza kutambua ndugu zao waliofariki kwenye ajali ya Meli (MV Skagit) Zanzibar...

Baadhi ya Maiti zilizopatikana katika Ajali ya Meli ya Skagit iliozama zikiwa katika Eneo la Maisara kwa ajili ya kutambuliwa na Nduguzao.Hadi mchana huu Maiti zilizopatikana ni 39 kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Zanzibar na bado waokoaji wanaendelea na zoezi hilo katika eneo la Tukio.



Baadhi ya Wananchi waliozitambua maiti zao katika Viwanja vya Maisara wakisaidiwa na Askari kutokana na Huzuni kubwa waliokuwanazo.kwa kuzama kwa Meli ya skagit hapo jana katika Eneo la karibu na Kisiwa cha Chumbe Zanzibar.Hadi mchana huu Maiti zilizopatikana ni 39 kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Zanzibar na bado waokoaji wanaendelea na zoezi hilo katika eneo la Tukio.
 
 
 
 
 
 
Baadhi ya Wageni kutoka Nchi mbalimbali wakiwa katika Viwanja vya Maisara ili kujuwa Ndugu zao na kuangalia taratibu zinazofanyika viwanjani hapo kutokana na Kuzama kwa meli ya skagit hapo jana katika Eneo la karibu na Kisiwa cha Chumbe Zanzibar.Hadi mchana huu Maiti zilizopatikana ni 39 kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Zanzibar na bado waokoaji wanaendelea na zoezi hilo katika eneo la Tukio.
 
 
 
Baadhi ya Wananchi wakiwa wamekusanyika katika Viwanja vya Maisara ili kuweza kupata taarifa ya Ndugu zao waliokuwa katika Meli ya Skagit ambayo imepata Ajali ya Kuzama katika Eneo la karibu na Kisiwa cha Chumbe Zanzibar.
 
 
Baadhi ya Waandishi wa Habari wa Vyombo mbaliombali wakiwa katika Viwanja vya Maisara ili kuweza kupata Taarifa mbalimbali za kuletwa kwa Maiti ambazo zimepatikana katika ajali ya Meli ya skagit iliozama hapo jana katika Eneo la karibu na Kisiwa cha Chumbe Zanzibar
 
 
Wananchi mbalimbali wakizitambua Maiti zao zilizopatikana katika Ajali ya Meli ya skagit iliozama hapo jana katika Eneo la karibu na Kisiwa cha Chumbe Zanzibar.Hadi mchana huu Maiti zilizopatikana ni 39 kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Zanzibar na bado waokoaji wanaendelea na zoezi hilo katika eneo la Tukio.
 
 
 
Baadhi ya Maiti zilizopatikana katika Ajali ya Meli ya Skagit ilizama zikiteremshwa katika Viwanja vya Maisara Mjini Zanzibar ili kutambuliwa na Jamaa zao.Hadi mchana huu Maiti zilizopatikana ni 39 kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Zanzibar na bado waokoaji wanaendelea na zoezi hilo katika eneo la Tukio.
 
 
Madaktari wakiandika Orodha ya Maiti zinazoletwa hapo katika Viwanja vya Maisara Mjini Zanzibar Baada ya kupatikana kutoka katika Meli ya Skagit iliozama hapo jana katika Eneo la karibu na Kisiwa cha Chumbe Zanzibar
 
 
Wahusika wa Matayarisho ya Mazishi ya watu waliokuwa bado hawajatambuliwa na Jamaa zao ili kuzikwa kiserikali wakiwa katika kazi ya kutayarisha Sanda hapo katika Viwanja vya Maisara Zanzibar
 
 
 
Picha na habari kwa hisani ya Mrokim blog