Friday 30 May 2014

Kimenuka Bongo Movies! Steve Nyerere na Adam Haji 'Baba Haji' wataka kuzichapa msibani!!

Majangaaa! Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movie, Steven Nyerere na muigizaji Adam Haji 'Baba Haji' nusura wazichape baada ya kupishana kauli kwenye msiba.

Mwenyekiti wa Bongo Movie 'Steve Nyerere' (aliyeshika chupa ya maji) akilia kwa uchungu katika msiba wa Recho.
Uwanja wa vita ulikuwa kwenye msiba wa mwigizaji mwenzao Sheila Haule 'Recho', Sinza-Palestina, jijini Dar ambapo chanzo kilishuhudia mtiti huo, kilidai tatizo liliibuka mara baada ya Steve Nyerere kumchimba mkwara Baba Haji asijiweke karibu na Jacob Steven 'JB'.
"Hata haikujulikana kw anini Steve hakutaka Baba Haji awe karibu na JB, akammaindi ndipo mtiti ulipoibuka, wakataka kushikana mashati bahati nzuri Mtitu (Wiliam) akawaamulia," kilielezwa chanzo.
Akizungumzia sakata hilo baado ya kutulizwa 'munkari', Baba Haji alisema anamshangaa Steve kwa kumchimba mkwara asikae na JB pasipo kuwa na sababu za msingi.

Muigizaji mkongwe wa Bongo Movie, Adam Haji 'Baba Haji' (kushoto) akishiriki kubeba jeneza lenye mwili wa marehemu Recho.



Credit:globalpublishers/tuangazebongoblog
Follow me on Facebook @leilamaingu or Twitter @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more....




Bongo Celeb Gossip: Agnes Masogange avishwa pete ya uchumba!!


Habari mpya ya leo inayosambaa kwenye blogs za Kitanzania ni kwamba Agnes Masogange ambaye ni video vixen maarufu nchini, amevishwa pete ya uchumba yenye thamani ya shilingi mil. 16 za Kitanzania.


Habari zaidi zinadai kuwa Agnes ni mjamzito na alipoenda Afrika Kusini hivi juzi kumuambia jamaa aliyempa mimba kuwa ana ujauzito wake, Jamaa huyo alifurahi sana na kumvisha Agnes pete inayoonekana hapo juu kwenye picha ambayo Agnes mwenyewe aliweka picha hiyo katika mtandao mmoja wa kijamii na kuandika maneno yasemayo "mama kijacho."

Kama habari ni za kweli, we wish her all the best!!


Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more....






Thursday 29 May 2014

Bongo Gossip: Sijavuruga Ndoa ya Vicky Kamata


Suala la kukwama kufungwa ndoa ya Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Vicky Kamata limechukua sura mpya baada ya mzazi mwenza wa mchumba wa mbunge huyo kukanusha taarifa kwamba alikwenda Dodoma kwa lengo la kuomba msaada kwa viongozi wa Bunge.
Kauli ya Mama huyo imezidisha utata katika sakata la kukwama kufungwa kwa ndoa hiyo iliyokuwa ifanyike Jumamosi baada ya kutokea habari kuwa mwanamke  mmoja alikwenda bungeni mjini Dodoma kutaka kuonana na Spika kwa lengo la kuomba Bunge limsaidie kupata haki yake kabla ya harusi hiyo kufungwa na hivyo kusababisha harusi kutofanyika.
Kamata, ambaye alijizolea umaarufu kutokana na wimbo wake wa "Wanawake na Maendeleo" na baadaye kuingia bungeni katika uchaguzi wa mwaka 2010, alikuwa afunge ndoa na mtu aitwaye Charles Gardiner Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam, lakini haikufayika kutokana na mbunge huyo kuwa mgonjwa kiasi cha kulazwa hospitalini maeneo ya Tabata.
Mzazi mwenza Charles Gardiner, Kinavi Dadi alikanusha kufunga safari hadi Dodoma kwa lengo hilo.  

Alisema, "Ni kweli kwamba Charles ni Baba watoto wangu, lakini sijawahi kwenda Dodoma na wala sifahamu chochote kuhusu safari hiyo. Nadhani inatosha." 
Baadae kidogo, mmoja wa ndugu wa Kinavi, ambae aliomba asitajwe jina lake gazetini, alikiri ndugu yao kufunga ndoa na Gardiner Juni 2004 na kujaliwa kupata watoto wawili lakini walitofautiana na baadaye ndoa yao kuvunjwa mwaka 2012,


Watanzania wenzangu wanapenda sana gossip (udaku). Kama huyo mzazi mwenzake na huyo aliyekuwa bwana harusi mtarajiwa (Charles Gardiner) alikuwa hana tena mahusiano na mama watoto, kwanini ndoa ya Vicky Kamata imekuwa na matatizo? Inabidi huyo Charles na Vicky wote wafanyiwe mahojiano ili kujua ukweli uko wapi badala ya watu kusema vitu ambavyo havikutokea.


Follow me on Facebook @leilamaingu or Twitter @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more....



Davido ft Mafikizolo - Tchelete (Goodlife)




Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more....

P Square - Taste the Money (Testimony)



P Square never disappoint me.... the video is woowww!!



Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more.....

Bongo Hit: Ommy Dimpoz - Ndagushima


When Ommy Dimpoz came to London a few weeks a go, he did a new Music video. I think it's very different from his other videos, and the song is also very nice!!



Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more....

Party Fab: Rihanna throws A Fenty - Filled baby shower for her cousin Noella in Malibu

 photo rihsnsnd.png

 photo purplenyc7.png
Her Mom Monica Braithwaite and her brothers Rajad and Rorrey celebrated their cousin Noella's pregnancy in Malibu.

 photo purplenyc2.png
Rihanana's best friend Melissa Forde was also there....

 photo purplenyc10.png

 photo purplemix1.png

 photo purplenyc6.png

Looks like she had lots of fun!!


Images:phuckmebadgalriri/sonitalex/mdollas11/rihanna_mylife_/italyrihanna
Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celebrity gossip and more....

R.I.P Dr Maya Angelou

Yesterday, it was reported that Dr Maya Angelou who had repeatedly health problems has died at the age of 86yrs.  The City's Mayor, Allen Joines and her publicist both confirmed that Dr Angelou was found by her caretaker early morning hours yesterday.
The Phenomenal Woman was born Marguerite Annie Johnson on April 4, 1928. As for how she came to Maya angelou: Her older brother Bailey gave her the nickname Maya. She adopted the last name of Angelou during the early 1950s when she began performing as a dancer and singer. The name was a variation on her first husband's, Tosh Angelos' surname.

Oprah released this statement on her Instagram:

 photo mayaoprah.png

I've been blessed to have Maya Angelou as my mentor, mother/sister, and friend since my 20's. She was there for me always, guiding me through some of the most important years of my life. The world knows her as a poet but at the heart of her, she was a teacher. 'When you learn, teach. When you u get, give' is one of my best lessons from her. She won three Grammys, spoke six languages and was the second poet in history to recite a poem at a presidential inauguration. But what stands out to me most about Maya Angelou is not what she has done or written or spoken, it's how she lived her life. She moved through the world with unshakeable calm, confidence and fierce grace. I loved her and I know she loved me. I will profoundly miss her. She will always be the rainbow in my clouds.
-Oprah

The story of Dr Angelou will always be a grand and legendary one.
R.I.P Dr Maya Angelou


Source:optus
Follow me on Facebook @leilamaingu or Twitter @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more.....

Wednesday 14 May 2014

Form fighting, to going jewellery shopping together..... I said it yesterday! People do argue at times!!

 photo hov-solange_zps9650d948.jpg
So while I was browsing, I found this topic on theybf.com. Jay Z and Solange have been spotted going jewellery shopping together. What is really going on between these people?! 
 Now the speculation is that Solange has drinking issues... 
On this photo, Jay Z put on a fake smile, while Solange kept on the fierce look. She still looks upset about heir row. Back to what I said yesterday, these people are going through normal issues just like any normal people (non-celebrities). But being Celebrities, at times it's hard for them to hide their personal life from the rest of the world because we are all out here watching their every single move.



Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook@leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip, and more.....

Tuesday 13 May 2014

Noel's Baptism and Junior's Holly Communion...

 
Augustine, Jessica and their Sons Junior and Noel

Family Affair... 

Form left: Sekela, Sergio, Timothy, Augustine, Jessica & Noel, Junior, Sonda and Mashimba 

From left: Augustine, Jessica, Noel, Mama Andrew, Leila and Wilson

Noel's God Parents (Myself & Wilson)

 
                                              Sergio & Noel                                   Wilson &Noel

                                           Junior & Mashimba                                  Sergio & Junior                

Leila and Sekela
  
 
Jessica, Junior & Mashimba

From left: Doris, Beatrice & Sekela

Blurry but nice... Jessica & Augustine

Form left: Doris, myself & Sekela

  
Mama Andrew, Jessica & Leila

From left: Beatrice, Calista, Jessica, Mama Andrew and Doris

My co-wife Heidi Maduhu and I with family

Doris, Jessica and Hope

Dada Tumaini, Myself & Rebecca 


Mama Andrew and I looking at people dancing during the party

With my lovely Wifi Jessica

 I just want to thank Jessica and Augustine for choosing me to be one of Noel's God Parents. I must admit, I feel honoured to be given such a responsibility of being in their Son's life. 
It was a wonderful event!!

The End


Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more....





Beyonce & Jay Z....

There's lots of speculations going on about the incident that happened a few days a go between Jay Z and Beyonce's younger sister Solange. It really shocks me to see people making this a big deal as if these guys are meant to be living a perfect life. Beyonce and Jay Z are a couple just like any other couple. Couples do have misunderstandings. At the end of the day, we're all not perfect. It's become a big deal because these guys are celebrities.
I just read it on someones Instagram speculating that the reason why Solange attacked Jay Z is because Jay Z had a misunderstanding with Beyonce and he slapped her, and Solange couldn't take that, so she ended up attacking the brother in law.

Keeping composed: The singer was seen looking at the cameras while sitting courtside at the basketball game

Glamorous: The 32-year-old looked great in a denim jumpsuit and heels alongside her casually clad husband

Affectionate moment: As they shared a joke about something, the rapper was seen placing a hand on his wife's ankle

Following the attack, Beyonce and Jay Z went to watch a basketball game, both looking really happy together.

Deep in thought: At one point the couple looked to be having a serious conversation, perhaps about the fight

In a serious conversation....



Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more....