Tuesday 17 July 2012

Lisa Jensen aenda China kushiriki Miss World 2012...



Miss World Tanzania 2012, Lisa Jensen akipunga mkono wakati akiondoka katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akieklekea nchini Nchina kushiriki shindano la Miss World 2012. Lisa anaiwakilisha Tanzania katika shindano hilo.


Lundenga akimsindikiza Lisa kwenda kukaguliwa tayari kwa safari ya nchini China.


 Lisa akiwaeleza jambo Mkurugenzi wa Lino International Agency, Waandajai wa Miss Tanzania, Hashim Lundenga (kushoto) na Mkuu wa Itifaki wa kamati ya Miss Tanzania, Albert Makoye.

Hashim Lundenga akisalimiana na mama mzazi wa Lisa Jensen wakati wa kumsindikiza mrembo huyo.

Source: mrokim blog




No comments:

Post a Comment