Friday, 6 September 2013

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdukrahaman Kinana Septemba 10 anatarajiwa kuanza ziara ya kawaida katika mikoa ya shinyanga, Simiyu na Mara.

Ziara hiyo itaanzia katika mkoa wa Shinyanga Septemba 10 mpaka 13 mwaka huu, kwa kutembelea wilaya zote nne za mkoa huo na kufuatiwa na mkoa mpya wa Simiyu kuanzia Septemba 14 mpaka Sptemba 19 kwa kutembelea wilaya zote tano kabla ya kuhtimisha ziara hiyo kwa kutembelea wilaya Sita za mkoa wa Mara kuanzia Septemba 20 mpaka 25 mwaka huu.

Katika ziara hiyi, Katibu Mkuu wa CCM attambatana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM anayeshughulikia itikadi na Uenezu Ndugu Nape Nnauye.

Kwa mujibu wa Ratiba ya ziara hiyo, Wajumbe hao wa sekretarieti watakagua uhai wa Chama ikiwa ni pamoja na kupokea wanachama wapya sanjari na kuhamasisha wananchi kujituma katika shughuli za uzalishaji ili kuleta tija katika maisha yao na ya Taifa kwa ujumla.

Aidha watakagua maendeleo ya utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010/2015 hasa katika miradi ya kimaendeleo kama vile Ujenzi wa majosho kwa ajili ya wafugaji, maendeleo ya maboresho ya kilimo cha Pamba, Uvuvi wenye tija pamoja na maboresho ya sekta za Afya, elimu na miundombinu zikiwemo Barabara.

Katika ziara hiyo, Katibu Mkuu atapata fursa ya kusikiliza kero mbalimbali za wananchi kwa kushauriana na serikali kutafuta nama ya kuzitafutia ufumbuzi. Katibu Mkuu pia atafanya mikutano ya ndani na ya hadhara katika kila wilaya za mikoa hiyo.


By: Nape Moses Nnauye
Katibu wa Itikadi na Uenezi 
05/09/13
Credit: JestinaGeorgeMeru/Twitter
Follow me on Facebook for news, Fashion, entertainment, celeb gossip and more......


Wednesday, 4 September 2013

Diamond Platnumz 'My Number One'

I love music a lot, especially East African Music! Diamond Platnumz is one of my favourite artists. So far he's never disappointed me on any of his songs. Check out his brand new music video.....




Follow me on Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more....

Prince releases 'Breakfast can wait'




Follow me on Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more....

Tuesday, 3 September 2013

Keeping up with the Kagwirias

This episode made me laugh my head off and decided to share it with you guys!! So since the Americans have 'Keeping up with the Kardasians', in Kenya they have something similar by the name
 'Keeping up with the Kagwirias!!'
watch it below....




Follow me on Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more.....

Mkasi TV with Ally Rehmtullah





Follow me on Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more.....

Wednesday, 28 August 2013

KAGAME HATAKANYAGA TENA ARDHI YA TANZANIA.....WABUNGE WA RWANDA WASUSA JIJINI ARUSHA...



RAIS Paul Kagame wa Rwanda, sasa hayupo tayari kukanyaga ardhi ya Tanzania kutokana na kile kinachoonekana kuwa ni mgogoro wa kidiplomasia unaoendelea kati yake na Rais Jakaya Kikwete.

Wakati hayo yakifikia hapo, kikao cha Bunge la Afrika Mashariki (EALA), linakoketi mjini Arusha kilivunjika baada ya Spika wa bunge hilo, Magreth Zziwa, kugongana kauli na Mbunge mmoja wa Rwanda jambo lililosababisha wabunge wote wa Rwanda kususia kikao na kutoka nje ya ukumbi wa Bunge.

Mwenendo wa hayo yaliyojitokeza jana katika Bunge la Afrika Mashariki hadi kikao kuvunjika, msingi wake ni mgogoro unaowagusa wakuu hao wawili wa dola.

Habari zilizolifikia gazeti hili toka katika vyanzo vyake mbalimbali vilivyo ndani na nje ya mipaka ya Tanzania, lakini pia katika vikao vya Bunge hilo la Afrika Mashariki vinavyoendelea jijini Arusha zinaeleza kuwa, Rais Kagame hata kama ataalikwa kuja nchini leo, hatakuja.

MTANZANIA Jumatano limedokezwa kuwa jambo hilo tayari limethibitishwa na Wabunge wa Rwanda wanaohudhuria vikao vya (EALA).

Taarifa toka ndani ya Bunge hilo zilizolifikia MTANZANIA Jumatano zinaeleza kuwa, tayari mzimu wa msigano huo uliojitokeza baina ya wakuu hao wawili wa dola, umeanza kuwavuruga wabunge hao baada ya jana kikao cha Bunge hilo kuvunjika, kutokana na kuibuliwa kwa hoja ya kutaka vikao vya Bunge hilo kufanyika kwa utaratibu wa kuzunguka kila nchi.

Zinaeleza zaidi kuwa; Ni katika hoja hiyo wabunge wa Kenya na Rwanda walionekana kuungana na kuwa kitu kimoja na hivyo kususia kikao hicho cha jana, jambo ambalo lilimlazimisha Spika wa Bunge hilo, Magreth Zziwa kuvunja kikao.

Bongo Music: Lucci and Jokate 'Kaka Dada'


Kaka Dada, Do we like it or?!




Follow me on Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more......