Friday, 30 May 2014

Kimenuka Bongo Movies! Steve Nyerere na Adam Haji 'Baba Haji' wataka kuzichapa msibani!!

Majangaaa! Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movie, Steven Nyerere na muigizaji Adam Haji 'Baba Haji' nusura wazichape baada ya kupishana kauli kwenye msiba.

Mwenyekiti wa Bongo Movie 'Steve Nyerere' (aliyeshika chupa ya maji) akilia kwa uchungu katika msiba wa Recho.
Uwanja wa vita ulikuwa kwenye msiba wa mwigizaji mwenzao Sheila Haule 'Recho', Sinza-Palestina, jijini Dar ambapo chanzo kilishuhudia mtiti huo, kilidai tatizo liliibuka mara baada ya Steve Nyerere kumchimba mkwara Baba Haji asijiweke karibu na Jacob Steven 'JB'.
"Hata haikujulikana kw anini Steve hakutaka Baba Haji awe karibu na JB, akammaindi ndipo mtiti ulipoibuka, wakataka kushikana mashati bahati nzuri Mtitu (Wiliam) akawaamulia," kilielezwa chanzo.
Akizungumzia sakata hilo baado ya kutulizwa 'munkari', Baba Haji alisema anamshangaa Steve kwa kumchimba mkwara asikae na JB pasipo kuwa na sababu za msingi.

Muigizaji mkongwe wa Bongo Movie, Adam Haji 'Baba Haji' (kushoto) akishiriki kubeba jeneza lenye mwili wa marehemu Recho.



Credit:globalpublishers/tuangazebongoblog
Follow me on Facebook @leilamaingu or Twitter @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more....




Bongo Celeb Gossip: Agnes Masogange avishwa pete ya uchumba!!


Habari mpya ya leo inayosambaa kwenye blogs za Kitanzania ni kwamba Agnes Masogange ambaye ni video vixen maarufu nchini, amevishwa pete ya uchumba yenye thamani ya shilingi mil. 16 za Kitanzania.


Habari zaidi zinadai kuwa Agnes ni mjamzito na alipoenda Afrika Kusini hivi juzi kumuambia jamaa aliyempa mimba kuwa ana ujauzito wake, Jamaa huyo alifurahi sana na kumvisha Agnes pete inayoonekana hapo juu kwenye picha ambayo Agnes mwenyewe aliweka picha hiyo katika mtandao mmoja wa kijamii na kuandika maneno yasemayo "mama kijacho."

Kama habari ni za kweli, we wish her all the best!!


Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more....






Thursday, 29 May 2014

Bongo Gossip: Sijavuruga Ndoa ya Vicky Kamata


Suala la kukwama kufungwa ndoa ya Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Vicky Kamata limechukua sura mpya baada ya mzazi mwenza wa mchumba wa mbunge huyo kukanusha taarifa kwamba alikwenda Dodoma kwa lengo la kuomba msaada kwa viongozi wa Bunge.
Kauli ya Mama huyo imezidisha utata katika sakata la kukwama kufungwa kwa ndoa hiyo iliyokuwa ifanyike Jumamosi baada ya kutokea habari kuwa mwanamke  mmoja alikwenda bungeni mjini Dodoma kutaka kuonana na Spika kwa lengo la kuomba Bunge limsaidie kupata haki yake kabla ya harusi hiyo kufungwa na hivyo kusababisha harusi kutofanyika.
Kamata, ambaye alijizolea umaarufu kutokana na wimbo wake wa "Wanawake na Maendeleo" na baadaye kuingia bungeni katika uchaguzi wa mwaka 2010, alikuwa afunge ndoa na mtu aitwaye Charles Gardiner Jumamosi iliyopita jijini Dar es Salaam, lakini haikufayika kutokana na mbunge huyo kuwa mgonjwa kiasi cha kulazwa hospitalini maeneo ya Tabata.
Mzazi mwenza Charles Gardiner, Kinavi Dadi alikanusha kufunga safari hadi Dodoma kwa lengo hilo.  

Alisema, "Ni kweli kwamba Charles ni Baba watoto wangu, lakini sijawahi kwenda Dodoma na wala sifahamu chochote kuhusu safari hiyo. Nadhani inatosha." 
Baadae kidogo, mmoja wa ndugu wa Kinavi, ambae aliomba asitajwe jina lake gazetini, alikiri ndugu yao kufunga ndoa na Gardiner Juni 2004 na kujaliwa kupata watoto wawili lakini walitofautiana na baadaye ndoa yao kuvunjwa mwaka 2012,


Watanzania wenzangu wanapenda sana gossip (udaku). Kama huyo mzazi mwenzake na huyo aliyekuwa bwana harusi mtarajiwa (Charles Gardiner) alikuwa hana tena mahusiano na mama watoto, kwanini ndoa ya Vicky Kamata imekuwa na matatizo? Inabidi huyo Charles na Vicky wote wafanyiwe mahojiano ili kujua ukweli uko wapi badala ya watu kusema vitu ambavyo havikutokea.


Follow me on Facebook @leilamaingu or Twitter @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more....



Davido ft Mafikizolo - Tchelete (Goodlife)




Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more....

P Square - Taste the Money (Testimony)



P Square never disappoint me.... the video is woowww!!



Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more.....

Bongo Hit: Ommy Dimpoz - Ndagushima


When Ommy Dimpoz came to London a few weeks a go, he did a new Music video. I think it's very different from his other videos, and the song is also very nice!!



Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more....

Party Fab: Rihanna throws A Fenty - Filled baby shower for her cousin Noella in Malibu

 photo rihsnsnd.png

 photo purplenyc7.png
Her Mom Monica Braithwaite and her brothers Rajad and Rorrey celebrated their cousin Noella's pregnancy in Malibu.

 photo purplenyc2.png
Rihanana's best friend Melissa Forde was also there....

 photo purplenyc10.png

 photo purplemix1.png

 photo purplenyc6.png

Looks like she had lots of fun!!


Images:phuckmebadgalriri/sonitalex/mdollas11/rihanna_mylife_/italyrihanna
Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celebrity gossip and more....