Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more.....
Tuesday, 19 November 2013
Friday, 15 November 2013
Huyu ndiye Mganga anayedaiwa kutumiwa na Penny, Diamond na Mastaa wengine kujipatia mafanikio yao....! Mganga afunguka kila kitu.... !!
Dk Kamdege
"Mimi hao vijana nawafahamu sana lakini mimi ni Dk wa Watanzania wote sio Pennie na Diamond tu hapana, kazi zangu ainakubadirika na Watanzania wote na hata nje ya nchi kwani mimi nawatolea watu mikosi wanaotaka kuwa maarufu na wenye mafanikio pia nawanyooshea njia kwa hiyo naomba msiseme mimi ni Dk wa Pennie na Diamond hata viongozi wakubwa Serikalini nawapatia baraka zangu kisha wanaenda kufanikiwa. Huwa sipendi kujitangaza huko kwani mimi situmii uchawi kumpa mtu mafanikio, hapana. Hapa ni miti shamba tu inafanya kazi yake."
Alisema Dk Kamdege alivyohojiwa na 'GumzoLaJiji blog.
Diamond na Penny wadaiwa kumtumia mganga huyu ili kupata mafanikio yao...
Mganga huyo wa kienyeji ambae amekuwa maarufu sana tangu aanze huduma kutokana na watu maarufu wengi kumfuata kwa ajili ya kutatuliwa mambo yao ikiwemo mafanikio kwenye biashara, kazi, musiki, sanaa, uongozi wa ngazi za juu pamoja na michezo.

Habari zaidi zilisema miezi kadhaa iliyopita, mganga huyo aliwahi kujitoa kwenye vyombo nya habari akimsihi Pennie aende kwake akamtafutie dawa ili Diamond atulie kwani anamfahamu vizuri mwanamuziki huyo na anajua kitu ambacho angefanya.
Kila siku nikiamka, kuna jipya linaloendelea bongo! Inasikitisha sana. Sasa jinsi hii stori ilivyo, inamaana huyo Penny na Diamond hawakumpa huyo mganga namba zao za simu mpaka mganga aende kumtafuta Penny kwenye nyombo vya habari? Hahahaaaaaa!!! Inabidi nicheke!!
Au ndio kama wanavyosema kuwa kuna watu wanapenda kutumia majina ya watu wanaofahamika ili na wao wajulikane? Haieleweki?!
Uongo mtupuuuu!!
Mungu wasaidie watu waache ushirikina duuuu!!
Source: gumzolajiji
Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more....
Wema Sepetu: 'In my Shoes Episode 3'
Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more....
Mkasi TV with Mh Komba
Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more.....
Thursday, 14 November 2013
African Print Dresses...

Source: 4.bp.blogspot.com
Source: www.africanfashionguide.com

Source: 1.bp.blogspot.com
Source: http://www.clairenadine.com
Source: http://www.shaddersafrica.com
Ciara, La La, Estelle & More GO GLAM For The 2013 Victoria's Secret Fashion Show
Ciara
La la Anthony
Estelle
Image credit: Getty
Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook@leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more....
Short story: Imani's Journey....
As a young lady, she always wanted a good life. But at that time she wasn't financially stable. Her childhood life was a very tough one.
At ten years old, one Sunday morning, Sara went to her and said, "Honey you know life's been very hard for us. I have to go back to school so that when I finish, I could get a good job and take good care of you. I'm leaving you with your Grandma, your Uncle and Aunties. They'll take good care of you." Imani sat there thinking how could her Mom, Sara leave her and go far away from her? She couldn't imagine how she was going to miss her. Sara was going for University in the US.
The night Sara flew to US, Imani had a very bad temperature. The following morning she woke up with chickenpox, her eyes all swollen from crying all night for her Mom. Sara was a very beautiful woman. Her skin well toned up, and very tall. She got married at twenty three years old and had her first daughter Imani. After a few years of marriage, Sarah begun having marital problems with her husband Antonio, Imani's father. Sara couldn't handle the amount of verbal and physical abuse she used to get from her husband, with her two months old baby Imani, Sara moved back into her parents family home.
At ten years old, one Sunday morning, Sara went to her and said, "Honey you know life's been very hard for us. I have to go back to school so that when I finish, I could get a good job and take good care of you. I'm leaving you with your Grandma, your Uncle and Aunties. They'll take good care of you." Imani sat there thinking how could her Mom, Sara leave her and go far away from her? She couldn't imagine how she was going to miss her. Sara was going for University in the US.
The night Sara flew to US, Imani had a very bad temperature. The following morning she woke up with chickenpox, her eyes all swollen from crying all night for her Mom. Sara was a very beautiful woman. Her skin well toned up, and very tall. She got married at twenty three years old and had her first daughter Imani. After a few years of marriage, Sarah begun having marital problems with her husband Antonio, Imani's father. Sara couldn't handle the amount of verbal and physical abuse she used to get from her husband, with her two months old baby Imani, Sara moved back into her parents family home.
To be continued......
Story Written by: Leila Maingu
Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more....
Subscribe to:
Posts (Atom)