Sunday, 20 January 2013

How to make manicure last longer

When I was browsing,  i came across topics about nails and beauty. Since I love taking care of my natural nails, I thought I should share with LeilaMaingu readers some of the tips.



1- Clean your nails well with help of a soap and water. Then dry them out by means of a towel. If fingers will be damp, nail polish will crack.
2- Apply single thick layer of a base first, that is adhesive
3- Apply now two layers of your favorite nail polish color, now cover it after drying with a protective top base coat.
4- When applying it, just wipe the side of the nail polish brush on the side of its bottle. Now sweep that side on middle of nail. Then follow that with next one swipe downwards each of the sides. Before you apply the next coat of color, wait for about 2 minutes for the previous coat to get dry. This is the main key to done manicure that last longer.

5- Consider to refresh the top coat of manicure every other day if the nails need it.
6- Never try to add nail polish thinners in bottle, this will make your polish to get peel off quickly.
7- Wait for at least 1-2 hours so that the coats are completely dry before exposing hands to water.
8- Moisturize nails frequently. The smooth and healthy surface will let the nail polish to last longer.

Tips from: style-den
Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more....... 

Wasanii bongo movies kupelekwa Nigeria


Mkurugenzi wa Mad Mad Entertainment, Yasmin Razak (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu kampuni yake kuingia mikataba na wasanii wa filamu wa Tanzania watakaokwenda Nigeria na Jmahuri  ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa ajili ya kutengeza filamu. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Superior, Issack Kasanga na Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifamba. 


Msanii wa filamu, Steve Nyerere (kulia) akifafanua jambo wakati wa mkutano hupo.Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Superior, Issack Kasanga na Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifamba


DAR ES SALAAM, Tanzania

KAMPUNI ya Mad Mad Entertainment iliyopo jijini London nchini Uingereza, imeanzisha program maalum ya kupeleka wasanii wa filamu za bongo nje ya nchi kwa lengo la kukuza sanaa hiyo hapa nchini.
 Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Yasmin Razak alisema ameamua kufanya kazi na wasanii  hao ili kuleta mabadiliko na kuwakwamua kiuchumi wasanii wa filamu hapa nchini.

 “Kwa muda mrefu niliokaa London sioni kama sanaa hii ina maendeleo, nikafikiria kitu gani nifanye ili  kukuza tasnia hii, katika mkataba na kampuni msanii atakayetengeneza filamu na wasanii wa nje atalipwa kiasi cha sh 50 milioni pamoja na malipo mengine yatakayokuwepo kwenye mkataba, ikiwa ni pamoja na asilimia fulani kwa kila kazi itakayouzwa hapa nchini.

“Kwa muda mrefu niliokaa London sioni kama sanaa hii ina maendeleo, nikafikiria kitu gani nifanye ili  kukuza tasnia hii, katika mkataba na kampuni msanii atakayetengeneza filamu na wasanii wa nje atalipwa kiasi cha sh 50 milioni pamoja na malipo mengine yatakayokuwepo kwenye mkataba, ikiwa ni pamoja na asilimia fulani kwa kila kazi itakayouzwa hapa nchini.

“Nimekuwa nikifanya kazi hiyo na wasanii wengi kutoka Nigeria wakiwemo kina Omotola, Two Face na wengineo na pia Ghana, Congo na hata Uingereza, hivyo nimeonelea kuwa itakuwa vema Tanzania nao kuingia katika mchakato huo,”alisema Razak.

Razak ambaye amewahi kufanya kazi ya filamu na Fally Ipupa,  alitaja vigezo vya msanii atakayechaguliwa ikiwa ni pamoja na umaarufu,  kuijua lugha ya kiingereza, uwezo wa kuigiza na kuuvaa uhusika wowote pamoja na mavazi.

Naye rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifamba aliwataka wasanii hao kujipanga katika kuhakikisha wanaingia kwenye ushindani huo na kuwataka wale watakaochaguliwa kujituma na kuonyesha nidhamu ya uhakika.

“Hapa kuna kuinua vipaji, soko la kimataifa na mengineyo, hivyo ni vema kufanya kazi kikamilifu kwa wale watakaochaguliwa na si kujisahau, wanatakiwa wasanii watatu na tupo katika hatua za awali za mchujo,” alisema
Mwakifamba.

Naye muigizaji Issa Musa maarufu kama Cloud, alisema kuwa lugha itakuwa ni tatizo kubwa kwa wasanii walio wengi, hivyo kuitaka kampuni hiyo iangalienamna ya kuweza kuwasaidia wasanii hao.




Source:www.mjengwablog.com
Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more.....

Watanzania Tuokoe Maisha ya Mtoto Hanifa (Miaka 5)


MtotoHanifa

Mtoto Hanifa Salum Hassan mwenye umri wa miaka mitano anasumbuliwa na ugonjwa wa Saratani ya Damu (Leukemia) ambao umemfanya ashindwe kusimama na kutembea, anasumbuliwa na maumivu ya kichwa wakati wote, wakati mwinginehushindwa kupumua hivyo kulazimika kupumua kwa kutumia mashine pia hawezi kula analishwa kwa kutumia mirija na pia kila baada ya muda inabidi abadilishiwe damu.

MATIBABU
Matibabu ya mtoto Hanifa ni ya gharama kubwa sana. Ugonjwa wake haukujulikana alipopelekwa Hospitali ya taifa Muhimbili lakini alipopelekwa nchini India gharama za uchunguzi pekee zilikuwa dola 7,600 ambapo mtoto Hanifa aligundulika kuwa na ugonjwa wa Acute lymphoblastic Leukemia. Matibabu yake yalipangwa yawe kwa awamu tatu ambapo awamu ya kwanza ya matibabu iligharimu dola 10,000. Mwisho wa awamu ya kwanza zilihitajika dola 10,000 zingine ili aingie kwenye awamu ya pili ya matibabu lakini uwezo wa ndugu na jamaa ulikuwa ndio umeishia hapo hivyo matibabu ya mtoto Hanifa yalilazimika kukatishwa na Hanifa kurudishwa Tanzania. Ripoti za madaktari India zilipelekwa Muhimbili ambapo matibabu ya mtoto Hanifa yalipangwa kugharimu Tsh. milioni 2 kwa mwezi. Hakuna pesa za kumwezesha mtoto kuanza matibabu Muhimbili hivyo mtoto Hanifa amebaki nyumbani jijini Dar es Salaam akiwa kwenye hatari kubwa ya maambukizi mbalimbali ambayo yanaweza kuhatarisha maisha yake.
Hadi sasa ndugu na jamaa wanahaha kutafuta pesa za kumwezesha mtoto Hanifa kumalizia awamu mbili za matibabu yake nchini India kama ikiwezekana au ikishindikana basi aweze kuanza matibabu Muhimbili.

MICHANGO
Kwa watakaopenda kujitolea kuokoa maisha ya Mtoto Hanifa wanaombwa watoe michango yao kupitia akaunti hizi
Kwa walio Tanzania
Jokha Khamis Issa
Akaunti Namba: 041212000428
People Bank of Zanzibar
Kwa mawasiliano namba ya simu ni: +255 777 462587
Kwa walio nje ya Tanzania wanaweza kutuma michango yao kwa akaunti hii 
Suleiman Maadini
Account Number: 15092968
Sort Code: 30-67-99
Bank: Lloyds TSB
Country: United Kingdom
Kwa mawasiliano na Bwana Maadini: +44 78 18674305



Source:www.mjengwablog.com
Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more......

Video Fab: Tamar Braxton's 'Love & War' Video

 photo ScreenShot2013-01-17at73410PM_zpsf4349ecc.png

The youngest Braxton sister is holding her own on her hit single "Love & War."  In the just released black & white video, shot at a fabulous home in the Hollywood Hills, Tamar has passionate love, arguments & love again with her leading man.....watch the video below:




Do we like the video or?! Have your views below......



Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more.....



Saturday, 19 January 2013

Women's African Prints Jackets

Fair Trade African Print Round Neck Jacket
As featured in Vogue, these amazing African print fairly made jackets capture the bold print trend brilliantly.The cropped jacket is the perfect jacket this season to team with a crisp white shirt or bold print tee tucked in jeans, or over the little black dress with heels for evening.

 

By Renee from Ghana
Image credit: myasho.blogspot.com

African Print Kimono Jacket

African Print Kimono Jacket

African Print Kimono Jacket

African Print Kimono Jacket
Designed for 'TREND SETTERS'
Image credit: www.etsy.com

Avant Garde 80s African print New Wave Vintage Jacket,Blouse

Avant Garde 80s African print New Wave Vintage Jacket,Blouse

Another beautiful Jacket from www.etsy.com


Created by recent graduates Abi Fashesin and Ashley- Rae Tapping, the line combines vibrant African prints with everyday wear.
Source: http://fashionbombdaily.com

Modahnik-jacket

By Modahnik. Designs are available to purchase on Ethical Ocean
Image credit: www.afro-live.com

Printed Silk Asymmetrical Jacket
Image credit: www.shadders.net


Brocade jacket from Dolce & Gabbana  with a tunic from Suno. The outfit is accessorized with Alexis Bittar pyramid earrings and pin (alexisbittar.com)



Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more.....




Friday, 18 January 2013

Amber Rose confirms she's already married to Wiz Khalifa

Photobucket

Amber Rose called Wiz Khalifa "my husband" during a recent interview which has made folks believe they already got married! Or...is it just her pet name for her boo? See check it out below....



Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more.....

Wednesday, 16 January 2013

Alicios's One on One on 99Degrees

I really wanted to know who Alicios really is, and where she's from. Finally I got her ONE on ONE with 99Degrees.... watch it below:



 Follow me on Twitter @leilamaingu or Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more.......