Wednesday, 28 August 2013

Bongo Music: Lucci and Jokate 'Kaka Dada'


Kaka Dada, Do we like it or?!




Follow me on Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more......




Sunday, 25 August 2013

Mkasi TV with Jokate




Follow me on Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more.....

Friday, 23 August 2013

Bongo Celeb Gossip: SAKATA LA DAWA ZA KULEVYA (SEMBE) : DIAMOND NAE AHUSISHWA, SOMA ZAIDI HAPA....



Kwa mara ya kwanzatangu lilipoibuka salata la watu maarufu kujihusiha ama na utumiaji au usafirishaji wa dawa za kulevya, jina la mwanamuziki anayeaminika kuwa na ukwasi mkubwa kwa sasa hapa nchini, Naseeb Adbdulmaliki, maarufu kwa jina la Diamond, limeanza kutajwa kuwa ni miongoni mwa vigogo wa 'unga'.

Kama hiyo haitoshi, safari za nje ya nchi za mwanamuziki huyo unaohusisha ziara zake nchini Afrika Kusini na Uingereza, pia ni mambo ambayo yamechochea wingu la mashaka lililofikia hatua ya jina lake kuingizwa katika mtandao hio ambao katika siku za karibuni, umewagusa pia baadhi ya watu wenye majina makubwa katika jamii.

Kuhusu ziara hizo, kilicholeta mshtuko na dukuduku dhidi yake ni kuwapo kwa taarifa kwamba, katika moja ya ziara hizo za nje ya nchi, Diamond alifika hatua ya kusafiri akitumia chumba kinachotumiwa na wageni mashuhuri (VIP), badala ya njia ya wasafiri wa kawaida.

Mbali na hilo, taarifa nyingine zinaeleza kwamba, mizigo ya msanii huyo ambaye mra kadhaa amekuwa akisafiri na kundi la wacheza shoo wake, imekuwa ikipita pasipo kupitishwa katika hatua za ukaguzi kwa namna ile ile ilivyokuwa kwa mabinti wawili wa Kitanzania walionaswa nchini Afrika Kusini baada ya kuruka mfumo wa ukaguzi wa JNIA.

Aidha, ukaribu wa kimahusiano kati ya Diambond na baadhi ya Watanzania wanaoishi nchini Afrika Kusini na ambao majina yao pia yameanza kuhusishwa na biashara hiyo ya mihadarati, ni jambo jingine ambalo limechochea harakati za kufuatiliwa kwa karibu kwa nendo za Diamond.

Taarifa zaidi kutoka JNIA zinaelezea kwamba, miongoni mwa watu wanaoweza wakawa wamemponza Diamond ni wale ambao walionekana kuwa karibu na Agnes Gerald 'Masogange' (25) na Melis Edward (24), siku walipokuwa wakisafiri kwenda Afrika Kusini kabla hawajanaswa katika uwanja wa Ndege wa Oliver Thambo jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini, wakiwa na shehena ya dawa za kulevya.

Mwenendo wa watu hao unatiliwa shaka kuwa huenda ni miongoni mwa wafanybiashara wakubwa wa dawa za kulevya wenye maskani yao nchini Afrika Kusini, kwa sababu mbali na ukaribu na wasichana hao, pia walihusika kwa karibu kuusafirisha mwili wa mwanamuziki Albert Mangwair, aliyefia huko huko Afrika Kusini ambaye taarifa za kufa kwake ziligumbikwa na matumizi ya dawa za kulevya.

Alipoulizwa na MTANZANIA Jumatano iliyopita kupitia simu yake ya kiganjani kuhusu taarifa hizo na iwapo amekwishahojiwa na vyombo vya dola baada ya jina lake kuanza kutajwa kuwa miongoni mwa orodha ya wasanii wa muziki wanaosafirisha dawa za kulevya. Diamond alikiri kuwa na pesa za kutosha kuishi maisha anayotaka, lakini akakana kujihusisha na biashara hiyo.

Akifafanua tuhuma moja baada ya nyingine kwa mpangilio aliokuwa akiulizwa ba gazeti hili, Diamond alisema katika maisha yake, hajawahi kujihusisha na utumiaji au usafirishaji wa dawa za kulevya, lakini madai hayo yamekuwa yakitolewa dhidi yake na watu ambao hawajui siri ya mafanikio yake.

"Kazi ngumu siku zote inalipa, sasa napata matunda ambayo yanatokana na kile nilichokifanya, iweje watu mnitilie mashaka. Wattanzania ni mahsahidi wangu wananiona navyochumia juani, nitaendelea kulia kivulini tu kwani nakula kwa jasho langu.

"Siyo kweli kwamba mizigo yangu haikukaguliwa na kama haikukaguliwa na ingekuwa na kasoro, basi Uingereza wangenitia hatiani, nilipita na nilikaguliwa." Alisema Diamond.

Alipoulizwa kuhusu taarifa za kuwa mwanamtandao wa kundi la Masogange, pia alikanusha kwa kueleza kuwa hata siku aliyosafiri kwenda Afrika Kusini alikwenda peke yake uwanja wa ndege na kuongeza kuwa alikwenda huko kwa shughuli za kimuziki, ambapo safari nzima iligharimu zaidi ya Dola 30,000 za Kimarekani.

"Afrika Kusini nimekwenda kufanya kazi zangu na safari hiyo imeagharimu zaidi ya Dola 30,000. Nilikwenda kurekodi nyimbo yangu mpya inayoitwa namba moja ambayo itaanza kusikika hivi kaibuni.

"Unajua Watanzania sasa hivi wanajua mtu hawezi kufanikiwa au kupata maendeleo bila kuuza 'unga', hili si sawa. Juhudi za mtu ndizo zinamfikisha alipo, na mimi juhudi zangu ndio zinanifikisha hapa, watu waache kunijadili vibaya." Alisema Diamond.



Credit: Mtanzania Newspapers 21st Aug 13
Follow me on facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more......


Y'all ready for Jokate or not?!



We all can't wait to see or know exactly what's going on.... It looks like its gonna be very interesting.



Credit:Jokate/Twitter
Follow me on Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more.....



Janelle Monae covers the latest issue of VIBE VIXEN!!

 photo VibeVixen_Janelle_Cover2.jpeg

Singer Janelle Monae covers the latest issue of VIBE VIXEN..... where she dished out her upcoming Album, 'The Electric Lady' Sept 10th. She got to explain what she meant, "An electric lady is quirky, unafraid, epic and nicety-that's when you're being nice and nasty, noble and naughty, all at the same time".

 photo VibeVixen_Janelle_Cover1.jpeg

How life changed her since she entered the music business, Janelle said "I've evolved. When you realize its your responsibility to be a leader and create the world that you want to see, you have to do it, it's my responsibility to create music and come up with ideas that keep my community first."

 photo Janelle_create.jpg

 photo Janelle_shock_mini.jpeg

 photo Janelle_kick.jpg

 photo Janelle_beauty.jpg

 photo Janelle_controlbody.jpg




Imagecredit: vibevixen/magazinepics
Follow me on Facebook @leilamingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more.....










Kanye West gets Emotional About Kim K. On "Kris"


Kanye's comments on Kim are so emotional and touching. He truly loves her. Like he says, "It's not about the money or anything, it's the JOY"



Follow me on Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more.....


Monday, 19 August 2013

Something New, and Different coming up from Jokate!!


Just as I was going through Twitter, I came across this....
Jokate posted this photo on her Twitter account saying #SomethingDifferentIsAboutToHappen
Is it gonna be a movie, or a series, or what? Can't wait to find out!!


Follow me on Facebook @leilamaingu for news, fashion, entertainment, celeb gossip and more......